Wachezaji Starz wapewa Semina






Shirikisho la soka barani Afrika (CAF) limetoa semina kwa timu zote zinazoshiriki fainali za Afcon 2019 yenye lengo la kuelekeza taratibu mbalimbali kabla ya kuanza mashindano hayo

Wachezaji wa Stars wamepewa Semina hiyo leo pamoja na benchi la ufundi

Aidha Stars ilipokea tuzo kutoka CAF baada ya kufanikiwa kushiriki michuano hiyo inayoanza keshokutwa nchini Misri

Comments