Zamani Mabibi Harusi walikuwa wakilia kwenye harusi. Matron walikuwa na kazi kuwafuta machozi
Sasa hivi Mabibi Harusi
Wanaimba
Wanacheka
Wanacheza Kwaito hadi viduku
Kilichokuwa kinawaliza wa zamani ni nini?
na kinachowafurahisha wa siku hizi ni nini?
Comments
Post a Comment