Klabu ya Yanga imekamilisha usajili wa mlinzi wa kati Ally Ally aliyekuwa akichezea KMC
Ally amesaini mkataba wa miaka miwili kuwatumikia mabingwa hao wa kihistoria
Yanga imemtambulisha rasmi beki huyo ambaye aliitwa kwenye kikosi cha awali cha timu ya Taifa
Comments
Post a Comment