Wekundu wa Msimbazi wamepokea kichapo cha bao 5 kwa 4 kutoka kwa timu ya Sevilla ya Uhispania.Walianza Vizuri na kuongoza kwa magoli mpaka karibia dakika 90 lakini Sevilla wakatumia dakika za nyongeza kurudisha magoli mawili waliyokuwa nyuma... Simba watajilaumu wenyewe kwa kukosa umakini dakika za lala salama. ilivyoonekana ni kwamba simba wamezidiwa weledi na wachezaji wa Sevilla.
Wekundu wa Msimbazi wamepokea kichapo cha bao 5 kwa 4 kutoka kwa timu ya Sevilla ya Uhispania.Walianza Vizuri na kuongoza kwa magoli mpaka karibia dakika 90 lakini Sevilla wakatumia dakika za nyongeza kurudisha magoli mawili waliyokuwa nyuma... Simba watajilaumu wenyewe kwa kukosa umakini dakika za lala salama. ilivyoonekana ni kwamba simba wamezidiwa weledi na wachezaji wa Sevilla.
Comments
Post a Comment