Matajiri wa Iringa , Njombe, Mbeya na Songea Huu sio Utajiri Bali ni Mateso


Ni bora ukawa na Mia mfukoni lakini umeipata kwa jasho na una amani. Nimetembea hiyo Mikoa yote ni matajiri wachache sana wanaofurahia Pesa zao. Lakini wengi Pesa zao ni za 'ndagu' zenye masharti lukuki ambayo ni ya kujitesa tu, Utembee na mwanamke mwingine zaidi ya mke wako, Usivae viatu zaidi ya kandambili, Usijisaidie kwenye choo cha nyumbani na mengine mengi magumu
chanzo: udakuspecial

bonyeza hilo link hapo chini kwa taarifa zaidi

https://play.google.com/store/apps/details?id=com.mikogo.blog

Comments